Kilimo
Pembejeo za Kilimo
By americas | | 0 Comments |
Kitu cha kwanza cha kuwaza kama unataka kujihusisha na kilimo ni namna gani unaweza kupata pembejeo, wapi utapata na kwa garama gani. Pembejeo muhimu ni zana za kilimo, mbegu, mbolea na madawa ya wadudu. Soma zaidi kujua kuhusu pembejeo za kilimo hapa
LinkedIn
Share
Instagram
Call us