Vegetables
Kilimo Cha Nyanya
By americas | | 0 Comments |
Nyanya ni zao lililowainua wengi kiuchumi. Ukizingatia misingi mizuri ya kulima na soko likiwa zuri, unakupa uwakika wa kupata kipatao kizuri chenye faida. Zingatia mbegu bora ya nyanya Kama Obama F1, itakupa mavuno ya uhakika
LinkedIn
Share
Instagram
Call us