Seed
KILIMO BORA CHA HOHO
By americas | | 0 Comments |
Kilimo bora cha hoho (pilipili) kinahitaji kufuata mbinu mbalimbali ili kupata mavuno ya juu na yenye ubora. Hoho hustawi vizuri katika maeneo yenye hali ya joto la wastani kati ya nyuzi joto 20°C hadi 30°C. Udongo unapaswa kuwa na rutuba, mwepesi, na wenye pH kati ya 6.0 na 6.8.
KILIMO BORA CHA CABBAGE(KABICHI)
By americas | | 0 Comments |
Kulima na kula kabichi hutoa faida kama lishe bora yenye vitamini C, K, . Kabichi inaimarisha kinga ya mwili, afya ya moyo, utumbo, na ngozi, inapunguza uzito, cholesterol, na hatari ya saratani. Kabichi pia husaidia afya ya mifupa na ubongo, kupunguza maumivu. Mada hii inaelezea njia bora ya kulima kabichi
MAGONJWA YA CARROT NA KINGA ZAKE
By americas | | 0 Comments |
Kilimo cha karoti hutoa faida za kiuchumi kutokana na soko lenye uhitaji mkubwa, mavuno ya haraka, na gharama nafuu za uzalishaji. Karoti ni chanzo bora cha lishe, hususan vitamini A.
Kilimo bora cha karoti
By americas | | 0 Comments |
Kilimo cha karoti hakihitaji gharama kubwa za pembejeo kama vile dawa za wadudu na mbolea kama mazao mengine, ingawa inahitaji umakini kwenye udhibiti wa magugu na umwagiliaji wa kutosha.Karoti inaweza kutoa faida kubwa kwa mkulima kutokana haihitaji pembejeo nyingi kama mazao mengine mfano Nyanya.
KUVUNJA DORMANCY( UGUMU WA GANDA LA MBEGU) KWENYE MBEGU YA TIKITI
By americas | | 0 Comments |
Elimu ya namna ya kupanda mbegu ya tikiti na kupata germination ya asilimia 100%. Uoteshaji wa mbegu ya tikiti kwa namna hii kutaharakisha uotaji wa mbegu na ukuaji wa miche.Hii ni elimu ambayo ni vigumu kuipata sehemu nyingine.
Namna Bora ya Kupanda na Kutunza Miche ya Nyanya , hoho na Tikiti kwenye Kitalu (Seedtray):
By americas | | 0 Comments |
Kuwa na mbegu bora tu haitoshi kupata mafanikio shambani. Elimu sahihi ya kutunza mbegu ni muhimu sana kwenye kufanikisha malengo yako katika kilimo. Sisi tunakupa mbegu bora na pia elimu bora ya kilimo. Soma namna ya kutunza miche shambani.
Mangonjwa mbalimbali ya Tikitimaji
By americas | | 0 Comments |
Tikiti maji hukumbwa na magonjwa mbalimbali, ambayo yanaweza kusababisha kupungua kwa mavuno na ubora wa mazao. Magonjwa haya yanasababishwa na vimelea kama vile fungi, virusi, na bakteria.
Magonjwa Mbalimbali ya Nyanya(Tomato deseases)
By americas | | 0 Comments |
Ili mkulima wa nyanya afanikiwe hana budi kupambana na magonjwa mbalimbali yanayo shambulia nyanya. Tumekuonyesha aina mbalimbali ya magonjwa ya nyanya na namna ya kukukinga na kutibu.
Pembejeo za Kilimo
By americas | | 0 Comments |
Kitu cha kwanza cha kuwaza kama unataka kujihusisha na kilimo ni namna gani unaweza kupata pembejeo, wapi utapata na kwa garama gani. Pembejeo muhimu ni zana za kilimo, mbegu, mbolea na madawa ya wadudu. Soma zaidi kujua kuhusu pembejeo za kilimo hapa
Aina za mbegu za nyanya(Tomato seeds)
By americas | | 0 Comments |
Kuna aina kuu Mbili za mbegu za nyanya : Nyanya asili (OPV) na Nyanya Chotara ( Hybrid or F1) .
LinkedIn
Share
Instagram
Call us